Limit this search to....

Kisa cha Ziwa Swazilaga
Contributor(s): Mandari, Pauline (Author)
ISBN: 1720911738     ISBN-13: 9781720911739
Publisher: Createspace Independent Publishing Platform
OUR PRICE:   $16.14  
Product Type: Paperback
Language: Swahili
Published: June 2018
Qty:
Additional Information
BISAC Categories:
- Juvenile Fiction | Bedtime & Dreams
Physical Information: 0.08" H x 8.5" W x 8.5" (0.22 lbs) 32 pages
 
Descriptions, Reviews, Etc.
Publisher Description:
Kisa hiki ni kisa chenye kusisimua sana na chanye utata mkubwa kuhusu Ziwa Swazilaga. Ziwa hili lilikuwa linapendwa sana na watu wa kila rika ila sasa hivi limegeuka kuwa sehemu ambayo hakuna mtu hata mmoja anapenda kubakia peke yake katika ziwa hili baada ya jua kuzama. Ni nini kilichosibu na kusababisha watu kuwa na hofu kubwa ya ziwa hili zuri hivi? Utata wa hofu hiyo utasisimua watoto na kwafundisha sana kwa vile utata huo uligeuka pasipo kutarajia kuwa na ukweli ndani yake.