Limit this search to....

Udhibiti Wa Huduma Za Kiuchumi Tanzania
Contributor(s): Mwandosya, Mark (Author)
ISBN: 9987735096     ISBN-13: 9789987735099
Publisher: E & D Vision Publishing Limited
OUR PRICE:   $18.51  
Product Type: Paperback
Language: Swahili
Published: January 2013
Qty:
Additional Information
BISAC Categories:
- Business & Economics | Government & Business
LCCN: 2013440246
Physical Information: 0.47" H x 5.5" W x 8.5" (0.58 lbs) 224 pages
 
Descriptions, Reviews, Etc.
Publisher Description:
Udhibiti ni njia mojawapo inayotumika kusimamia Uchumi wa nchi na kuendeleza ustawi wa jamii.Udhibiti wa huduma za kiuchumi (public utilities) unahusu kuweka mizania kati ya kuwawezesha watoa huduma na kuwalinda watumiaji wa huduma kama vile maji, umeme, uchukuzi, mawasiliano na utangazaji. Kitabu hiki kinaelezea chimbuko la udhibiti Tanzania katika muktadha wa mabadiliko ya uchumi duniani pamoja na udhibiti katika nchi nyingine.Ni kitabu chenye maarifa ya msingi kwa kila mtumiaji wa huduma za kiuchumi, pamoja na wanafunzi, wasomi, wafanyakazi na viongozi.